-
Mathayo 27:3-5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Ndipo Yuda, ambaye alimsaliti, alipoona Yesu amehukumiwa, akajuta na kuwarudishia wakuu wa makuhani na wazee vile vipande 30 vya fedha,+ 4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu isiyo na hatia.” Wakamwambia: “Hilo linatuhusuje? Shauri yako!”* 5 Basi akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni. Kisha akaenda zake akajinyonga.+
-