Mhubiri 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Usifungue kinywa chako haraka, wala usiruhusu moyo wako uzungumze bila kufikiri mbele za Mungu wa kweli,+ kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+
2 Usifungue kinywa chako haraka, wala usiruhusu moyo wako uzungumze bila kufikiri mbele za Mungu wa kweli,+ kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa: Kila mtu lazima awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa hasira,+