Methali 6:6-8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwendee chungu, ewe mvivu;+Zichunguze njia zake uwe na hekima. 7 Ingawa hana kamanda, ofisa, au mtawala, 8 Yeye hutayarisha chakula chake wakati wa kiangazi,+Na kukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
6 Mwendee chungu, ewe mvivu;+Zichunguze njia zake uwe na hekima. 7 Ingawa hana kamanda, ofisa, au mtawala, 8 Yeye hutayarisha chakula chake wakati wa kiangazi,+Na kukusanya chakula chake wakati wa mavuno.