Methali 23:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* 5 Ukiutupia jicho, haupo,+Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+ 1 Yohana 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu kila kitu katika ulimwengu—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali zake maishani*—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.
4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* 5 Ukiutupia jicho, haupo,+Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+
16 kwa sababu kila kitu katika ulimwengu—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali zake maishani*—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.