Mhubiri 4:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nami nikawapongeza wafu ambao tayari walikuwa wamekufa badala ya walio hai ambao bado walikuwa hai.+ 3 Na yule ambaye hajazaliwa ni afadhali kuliko hao wawili,+ kwa kuwa hajaona mambo yenye kuhuzunisha yanayofanywa chini ya jua.+
2 Nami nikawapongeza wafu ambao tayari walikuwa wamekufa badala ya walio hai ambao bado walikuwa hai.+ 3 Na yule ambaye hajazaliwa ni afadhali kuliko hao wawili,+ kwa kuwa hajaona mambo yenye kuhuzunisha yanayofanywa chini ya jua.+