Ayubu 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika kifo hata waovu hawasumbui tena;Na humo waliochoka hupumzika.+ Mhubiri 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikachukia maisha,+ kwa sababu kila jambo linalofanywa chini ya jua lilionekana kwangu kuwa lenye kuhuzunisha, kwa sababu kila jambo lilikuwa ubatili,+ kukimbiza upepo.+
17 Basi nikachukia maisha,+ kwa sababu kila jambo linalofanywa chini ya jua lilionekana kwangu kuwa lenye kuhuzunisha, kwa sababu kila jambo lilikuwa ubatili,+ kukimbiza upepo.+