Methali 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kimbelembele husababisha mzozo tu,+Lakini hekima ni ya wale wanaotafuta ushauri.*+ Yakobo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akina ndugu, fuateni mfano wa manabii waliopatwa na uovu+ na kuonyesha subira+ na ambao walisema katika jina la Yehova.*+ 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
10 Akina ndugu, fuateni mfano wa manabii waliopatwa na uovu+ na kuonyesha subira+ na ambao walisema katika jina la Yehova.*+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi nyote mtendeane kwa* unyenyekevu,* kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+