Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usijigambe kuhusu kesho,

      Kwa maana hujui siku italeta nini.*+

  • Mhubiri 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimeona jambo lingine chini ya jua, ya kwamba sikuzote si wenye mbio wanaoshinda mbio, wala wenye nguvu hawashindi vita,+ wala wenye hekima hawapati chakula sikuzote, wala werevu hawawi na utajiri sikuzote,+ wala wenye ujuzi hawafanikiwi sikuzote,+ kwa sababu wakati na matukio yasiyotarajiwa* huwapata wote.

  • Yakobo 4:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Haya, basi, ninyi mnaosema: “Leo au kesho tutasafiri kwenda jiji fulani nasi tutakaa mwaka mmoja huko, tutafanya biashara na kupata faida,”+ 14 ingawa hamjui jinsi maisha yenu yatakavyokuwa kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki