Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wanasema, ‘Kaa peke yako; usinikaribie,

      Kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe.’*

      Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu, moto unaowaka mchana kutwa.

  • Mathayo 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Iweni waangalifu msionyeshe uadilifu wenu mbele ya watu ili wawaone;+ la sivyo hamtapata thawabu kutoka kwa Baba yenu aliye mbinguni.

  • Waroma 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa sababu ya kutojua uadilifu wa Mungu+ bali wakijaribu kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+

  • Waroma 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini kwa nini unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki