15 Basi akawaambia: “Mnajitangaza kuwa waadilifu mbele ya wanadamu,+ lakini Mungu anaijua mioyo yenu.+ Kwa maana kitu kinachoheshimiwa sana na wanadamu kinamchukiza Mungu.+
9 nami nipatikane katika muungano naye, si kwa sababu ya uadilifu wangu mwenyewe, kwa kufuata Sheria, bali kwa sababu ya uadilifu kupitia imani+ katika Kristo,+ uadilifu unaotoka kwa Mungu na unaotegemea imani.+