Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ Methali 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wajinga hufanyia mzaha hatia,*+Lakini wanyoofu wako tayari kufanya mapatano.*
14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+