2 Mambo ya Nyakati 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Wakikutendea dhambi (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie vikali na kuwaacha mikononi mwa maadui, na waliowateka wawapeleke katika nchi fulani, mbali au karibu,+ Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa nikiwa na hatia ya kosa,Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.*+ Waroma 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+ 1 Yohana 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikiwa tunasema, “Hatuna dhambi,” tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu.
36 “Wakikutendea dhambi (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie vikali na kuwaacha mikononi mwa maadui, na waliowateka wawapeleke katika nchi fulani, mbali au karibu,+