Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Wakikutendea dhambi (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie vikali na kuwaacha mikononi mwa maadui, na waliowateka wawapeleke katika nchi fulani, mbali au karibu,+

  • Zaburi 51:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Nilizaliwa nikiwa na hatia ya kosa,

      Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.*+

  • Waroma 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+

  • 1 Yohana 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikiwa tunasema, “Hatuna dhambi,” tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki