Methali 24:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Nawe usishirikiane na waasi,*+22 Kwa maana msiba wao utatokea ghafla.+ Ni nani anayejua jinsi wote wawili* watakavyowaangamiza?+ Waroma 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kila mtu na ajitiishe* kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kupitia Mungu;+ mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+ Tito 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema, 1 Petro 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu,*+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa
21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Nawe usishirikiane na waasi,*+22 Kwa maana msiba wao utatokea ghafla.+ Ni nani anayejua jinsi wote wawili* watakavyowaangamiza?+
13 Kila mtu na ajitiishe* kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kupitia Mungu;+ mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+
3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema,
13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu,*+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa