Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+

      Nawe usishirikiane na waasi,*+

      22 Kwa maana msiba wao utatokea ghafla.+

      Ni nani anayejua jinsi wote wawili* watakavyowaangamiza?+

  • Waroma 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kila mtu na ajitiishe* kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kupitia Mungu;+ mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+

  • Tito 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema,

  • 1 Petro 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu,*+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki