Waroma 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo kuna sababu ya lazima kwenu kujitiisha, si kwa sababu ya ghadhabu hiyo tu, bali pia kwa sababu ya dhamiri yenu.+ 1 Petro 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa kweli, ni nani atakayewadhuru mkifanya yaliyo mema kwa bidii?+
5 Kwa hiyo kuna sababu ya lazima kwenu kujitiisha, si kwa sababu ya ghadhabu hiyo tu, bali pia kwa sababu ya dhamiri yenu.+