Mhubiri 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Niliazimia moyoni mwangu kujifunza na kuchunguza kwa hekima+ kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu+—kazi ya kusikitisha ambayo Mungu amewapa wanadamu inayofanya waendelee kushughulika. Mhubiri 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Niliuongoza moyo wangu kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo, na kuelewa uovu wa upumbavu na ujinga wa kuwa wazimu.+
13 Niliazimia moyoni mwangu kujifunza na kuchunguza kwa hekima+ kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu+—kazi ya kusikitisha ambayo Mungu amewapa wanadamu inayofanya waendelee kushughulika.
25 Niliuongoza moyo wangu kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo, na kuelewa uovu wa upumbavu na ujinga wa kuwa wazimu.+