Mhubiri 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nilijitahidi sana ili moyo wangu ujue hekima na kujua wazimu* na kujua ujinga,+ na hilo pia ni kukimbiza upepo. Mhubiri 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi nikaanza kuchunguza hekima na wazimu na ujinga.+ (Kwa maana mtu anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Anaweza kufanya tu jambo ambalo tayari limefanywa.)
17 Nilijitahidi sana ili moyo wangu ujue hekima na kujua wazimu* na kujua ujinga,+ na hilo pia ni kukimbiza upepo.
12 Basi nikaanza kuchunguza hekima na wazimu na ujinga.+ (Kwa maana mtu anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Anaweza kufanya tu jambo ambalo tayari limefanywa.)