2 Nilisema hivi kuhusu kicheko: “Ni wazimu!”
Na kuhusu starehe, “Ina faida gani?”
3 Nilijaribu kuufurahisha moyo wangu kwa divai,+ huku nikiendelea kuwa na hekima yangu; hata nilikumbatia ujinga ili nione jambo bora ambalo wanadamu wanapaswa kufanya katika siku chache wanazoishi chini ya mbingu.