Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nilisema hivi kuhusu kicheko: “Ni wazimu!”

      Na kuhusu starehe,* “Ina faida gani?”

      3 Nilijaribu kuufurahisha moyo wangu kwa divai,+ huku nikiendelea kuwa na hekima yangu; hata nilikumbatia ujinga ili nione jambo bora ambalo wanadamu wanapaswa kufanya katika siku chache wanazoishi chini ya mbingu.

  • Mhubiri 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi nikaanza kuchunguza hekima na wazimu na ujinga.+ (Kwa maana mtu anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Anaweza kufanya tu jambo ambalo tayari limefanywa.)

  • Mhubiri 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Niliuongoza moyo wangu kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo, na kuelewa uovu wa upumbavu na ujinga wa kuwa wazimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki