Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 88:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, utawatendea maajabu waliokufa?

      Je, wale waliokufa ambao hawana uwezo wanaweza kuinuka na kukusifu?+ (Sela)

  • Zaburi 115:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watu waliokufa hawamsifu Yah;+

      Wala yeyote anayeshuka kwenye ukimya wa kifo.*+

  • Zaburi 146:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+

      Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+

  • Isaya 38:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukutukuza,+

      Kifo hakiwezi kukusifu.+

      Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini uaminifu wako.+

  • Yohana 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baada ya kusema hayo, akawaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi,+ lakini ninasafiri kwenda huko ili kumwamsha.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki