Ayubu 7:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama wingu linalofifia na kutoweka,Mtu anayeshuka chini Kaburini* harudi juu tena.+ 10 Hatarudi tena katika nyumba yake,Na mahali pake hapatamtambua tena.+ Mhubiri 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+
9 Kama wingu linalofifia na kutoweka,Mtu anayeshuka chini Kaburini* harudi juu tena.+ 10 Hatarudi tena katika nyumba yake,Na mahali pake hapatamtambua tena.+
16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+