Zaburi 103:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+Yeye huchanua kama ua la shambani.+ 16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,Kana kwamba halikuwahi kuwepo.* Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua* kwamba watakufa,+ lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe,+ wala hawana thawabu* tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa.+
15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+Yeye huchanua kama ua la shambani.+ 16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,Kana kwamba halikuwahi kuwepo.*
5 Kwa maana walio hai wanajua* kwamba watakufa,+ lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe,+ wala hawana thawabu* tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa.+