Danieli 10:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Siku hizo, mimi, Danieli, nilikuwa nikiomboleza+ kwa majuma matatu kamili. 3 Sikula kamwe chakula kizuri, sikula nyama wala kunywa divai, nami sikujipaka kamwe mafuta kwa majuma matatu kamili.
2 Siku hizo, mimi, Danieli, nilikuwa nikiomboleza+ kwa majuma matatu kamili. 3 Sikula kamwe chakula kizuri, sikula nyama wala kunywa divai, nami sikujipaka kamwe mafuta kwa majuma matatu kamili.