Danieli 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikula mkate mtamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, nami sikujipaka mafuta kwa vyovyote mpaka kumalizika kwa yale majuma matatu kamili.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:3 dp 200-201 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:3 Unabii wa Danieli, kur. 200-201
3 Sikula mkate mtamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, nami sikujipaka mafuta kwa vyovyote mpaka kumalizika kwa yale majuma matatu kamili.+