20 Akani+ mwana wa Zera alipokosa uaminifu na kuchukua kitu kilichopaswa kuharibiwa, je, Mungu hakuwakasirikia Waisraeli wote?+ Akani hakufa peke yake kwa sababu ya dhambi yake.’”+
15 Iweni waangalifu kwamba yeyote asikose kupata fadhili zisizostahiliwa za Mungu, ili mzizi wowote wenye sumu usichipuke na kusababisha taabu na wengi watiwe unajisi nao;+