Methali 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hekima, mtu mwerevu huelewa njia anayofuata,Lakini wapumbavu hudanganywa* na ujinga wao.+ Methali 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kuna faida gani kwa mpumbavu kuwa na uwezo wa kupata hekimaIlhali hana moyo wa kuipata?*+