1 Wafalme 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi akamwambia mfalme: “Habari nilizosikia katika nchi yangu kuhusu mafanikio* yako na kuhusu hekima yako zilikuwa za kweli. 1 Wafalme 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wenye furaha ni watu wako, na wenye furaha ni watumishi wako wanaosimama mbele yako daima, wakiisikiliza hekima yako!+ Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu hufundisha hekima,*Na ulimi wake huongea kuhusu haki.+ Luka 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wote wakaanza kutoa ushahidi unaofaa kumhusu na kushangazwa na maneno yenye neema yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake,+ nao wakawa wakiambiana: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+ Waefeso 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+
6 Basi akamwambia mfalme: “Habari nilizosikia katika nchi yangu kuhusu mafanikio* yako na kuhusu hekima yako zilikuwa za kweli.
8 Wenye furaha ni watu wako, na wenye furaha ni watumishi wako wanaosimama mbele yako daima, wakiisikiliza hekima yako!+
22 Wote wakaanza kutoa ushahidi unaofaa kumhusu na kushangazwa na maneno yenye neema yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake,+ nao wakawa wakiambiana: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+
29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+