Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai inayofanya moyo wa mwanadamu ushangilie,+Mafuta yanayofanya uso ung’ae,Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+ Mhubiri 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nenda, ule chakula chako kwa shangwe, na unywe divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa kuwa tayari Mungu wa kweli amefurahia kazi zako.+
15 Na divai inayofanya moyo wa mwanadamu ushangilie,+Mafuta yanayofanya uso ung’ae,Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+
7 Nenda, ule chakula chako kwa shangwe, na unywe divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa kuwa tayari Mungu wa kweli amefurahia kazi zako.+