7 Ni lazima ninyi na familia zenu mle hapo mbele za Yehova Mungu wenu+ na kushangilia katika kazi zenu zote,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu amewabariki.
24 Hakuna jambo bora analoweza kufanya mtu kuliko kula na kunywa na kufurahia* kazi yake ngumu.+ Hili pia nimegundua kwamba linatoka mkononi mwa Mungu wa kweli,+