Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jambo lolote unalofanya kwa mkono wako, lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini,*+ mahali unapokwenda. 2 Wakorintho 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini kuhusu hili, yeyote anayepanda kwa uhaba atavuna pia kwa uhaba, naye anayepanda kwa wingi atavuna pia kwa wingi.+ Wakolosai 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi* yote kama kwa Yehova,*+ na si kwa wanadamu,
10 Jambo lolote unalofanya kwa mkono wako, lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima Kaburini,*+ mahali unapokwenda.
6 Lakini kuhusu hili, yeyote anayepanda kwa uhaba atavuna pia kwa uhaba, naye anayepanda kwa wingi atavuna pia kwa wingi.+