Methali 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+ Methali 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu mkarimu* atabarikiwa,Kwa maana chakula chake humgawia maskini.+ Mhubiri 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tupa* mkate wako juu ya maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+ Luka 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, nanyi mtapewa.+ Watawamwagia kwenye mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa, na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachowapimia watu, ndicho watakachowapimia.”
24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+
38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, nanyi mtapewa.+ Watawamwagia kwenye mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa, na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachowapimia watu, ndicho watakachowapimia.”