Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+

      Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+

      Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+

  • Methali 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mtu mkarimu* atabarikiwa,

      Kwa maana chakula chake humgawia maskini.+

  • Mhubiri 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tupa* mkate wako juu ya maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+

  • Luka 6:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, nanyi mtapewa.+ Watawamwagia kwenye mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa, na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachowapimia watu, ndicho watakachowapimia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki