Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Mfalme Rehoboamu akashauriana na wanaume wazee waliomtumikia Sulemani baba yake alipokuwa hai, akawauliza: “Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”

  • 1 Wafalme 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hata hivyo, alikataa ushauri aliopewa na wanaume wazee, akashauriana na vijana wa rika lake na ambao sasa walikuwa watumishi wake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mara tu baada ya utawala wa Rehoboamu kuimarika kabisa,+ naye akawa na nguvu, aliiacha Sheria ya Yehova,+ na Waisraeli wote pia wakaiacha.

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Mfalme Shishaki wa Misri akashambulia Yerusalemu. Akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya* mfalme. Alichukua kila kitu, kutia ndani ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki