11 Zaidi ya hayo, Uzia akawa na jeshi lililojihami kwa ajili ya vita. Wanajeshi hao walienda vitani, wakiwa wamepangwa katika vikundi. Walihesabiwa na kuandikishwa+ na mwandishi Yeieli+ na ofisa aliyeitwa Maaseya, chini ya amri ya Hanania, mmoja wa wakuu wa mfalme.
16 Hata hivyo, mara tu alipokuwa na nguvu, moyo wake ukawa na kiburi ambacho kilisababisha aangamie, naye alikosa kutenda kwa uaminifu kumwelekea Yehova Mungu wake kwa kuwa aliingia katika hekalu la Yehova ili kufukiza uvumba kwenye madhabahu ya uvumba.+