2 Mambo ya Nyakati 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena Uzia akawa na jeshi la kupigana vita, wale wanaoingia katika utumishi wa kijeshi vikosi vikosi,+ kulingana na hesabu ya uandikisho+ wao kwa mkono wa Yeieli mwandishi+ na Maaseya ofisa aliye chini ya+ Hanania mmoja wa wakuu wa mfalme.+
11 Tena Uzia akawa na jeshi la kupigana vita, wale wanaoingia katika utumishi wa kijeshi vikosi vikosi,+ kulingana na hesabu ya uandikisho+ wao kwa mkono wa Yeieli mwandishi+ na Maaseya ofisa aliye chini ya+ Hanania mmoja wa wakuu wa mfalme.+