1 Mambo ya Nyakati 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na pia vyote ambavyo Samweli mwonaji+ na Sauli mwana wa Kishi na Abneri+ mwana wa Neri na Yoabu+ mwana wa Seruya+ walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. Chochote ambacho mtu alikifanya kuwa kitakatifu kilikuwa chini ya Shelomithi na ndugu zake.
28 Na pia vyote ambavyo Samweli mwonaji+ na Sauli mwana wa Kishi na Abneri+ mwana wa Neri na Yoabu+ mwana wa Seruya+ walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu. Chochote ambacho mtu alikifanya kuwa kitakatifu kilikuwa chini ya Shelomithi na ndugu zake.