Mwanzo 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kuanzia sasa na kuendelea, dunia haitakosa kamwe kuwa na majira ya kupanda mbegu na kuvuna, baridi na joto, kiangazi na masika, na mchana na usiku.”+ Zaburi 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Linachomoza kutoka mwisho mmoja wa mbingu,Nalo huzunguka mpaka mwisho mwingine;+Na hakuna chochote kinachojificha joto lake.
22 Kuanzia sasa na kuendelea, dunia haitakosa kamwe kuwa na majira ya kupanda mbegu na kuvuna, baridi na joto, kiangazi na masika, na mchana na usiku.”+
6 Linachomoza kutoka mwisho mmoja wa mbingu,Nalo huzunguka mpaka mwisho mwingine;+Na hakuna chochote kinachojificha joto lake.