Methali 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ni afadhali kuwa maskini na kutembea kwa utimilifu+Kuliko kuwa mpumbavu na kusema uwongo.+ Methali 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni afadhali maskini anayetembea kwa utimilifu wakeKuliko tajiri ambaye njia zake zimepotoka.+ Methali 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kiongozi asiye na utambuzi hutumia vibaya mamlaka yake,+Lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki atarefusha maisha yake.+
16 Kiongozi asiye na utambuzi hutumia vibaya mamlaka yake,+Lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki atarefusha maisha yake.+