Nehemia 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini magavana walionitangulia waliwalemea watu, kila siku walichukua kutoka kwao shekeli 40 za fedha* kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwakandamiza watu. Lakini mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu nilimwogopa Mungu.+ Amosi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sikieni neno hili, enyi ng’ombe wa Bashani,Mlio kwenye mlima wa Samaria,+Ninyi wanawake mnaowalaghai watu wa hali ya chini+ na kuwakandamiza maskini,Mnaowaambia waume zenu,* ‘Tuleteeni kinywaji!’
15 Lakini magavana walionitangulia waliwalemea watu, kila siku walichukua kutoka kwao shekeli 40 za fedha* kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwakandamiza watu. Lakini mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu nilimwogopa Mungu.+
4 “Sikieni neno hili, enyi ng’ombe wa Bashani,Mlio kwenye mlima wa Samaria,+Ninyi wanawake mnaowalaghai watu wa hali ya chini+ na kuwakandamiza maskini,Mnaowaambia waume zenu,* ‘Tuleteeni kinywaji!’