Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 4:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lisikieni neno la Yehova, enyi Waisraeli,

      Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya wakaaji wa nchi,+

      Kwa sababu hakuna ukweli wala upendo mshikamanifu wala ujuzi kumhusu Mungu nchini.+

       2 Viapo vya uwongo na udanganyifu+ na mauaji+

      Na wizi na uzinzi+ umeenea sana,

      Na tendo moja la umwagaji wa damu linafuata tendo lingine la umwagaji wa damu.+

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+

      Pia nyumba, na kuzichukua;

      Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+

      Wanachukua urithi wa mtu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki