Hosea 4:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lisikieni neno la Yehova, enyi Waisraeli,Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya wakaaji wa nchi,+Kwa sababu hakuna ukweli wala upendo mshikamanifu wala ujuzi kumhusu Mungu nchini.+ 2 Viapo vya uwongo na udanganyifu+ na mauaji+Na wizi na uzinzi+ umeenea sana,Na tendo moja la umwagaji wa damu linafuata tendo lingine la umwagaji wa damu.+ Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+Pia nyumba, na kuzichukua;Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+Wanachukua urithi wa mtu.
4 Lisikieni neno la Yehova, enyi Waisraeli,Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya wakaaji wa nchi,+Kwa sababu hakuna ukweli wala upendo mshikamanifu wala ujuzi kumhusu Mungu nchini.+ 2 Viapo vya uwongo na udanganyifu+ na mauaji+Na wizi na uzinzi+ umeenea sana,Na tendo moja la umwagaji wa damu linafuata tendo lingine la umwagaji wa damu.+
2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+Pia nyumba, na kuzichukua;Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+Wanachukua urithi wa mtu.