Hosea 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+ Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:2 Mnara wa Mlinzi,11/15/1986, uku. 11
2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+