Mwanzo 41:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo Farao akaagiza Yosefu aletwe,+ basi wakamleta haraka kutoka gerezani.*+ Akajinyoa na kubadili nguo zake na kuingia mbele ya Farao. Mwanzo 41:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu, na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Nitakuwa tu mkuu kuliko wewe ninapotimiza jukumu langu nikiwa mfalme.”*
14 Kwa hiyo Farao akaagiza Yosefu aletwe,+ basi wakamleta haraka kutoka gerezani.*+ Akajinyoa na kubadili nguo zake na kuingia mbele ya Farao.
40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu, na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Nitakuwa tu mkuu kuliko wewe ninapotimiza jukumu langu nikiwa mfalme.”*