Zaburi 120:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mgeni Mesheki!+ Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+ Ezekieli 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Uliwaajiri Waarabu na wakuu wote wa Kedari,+ waliokuwa wafanyabiashara wa wanakondoo na kondoo dume na mbuzi.+
21 Uliwaajiri Waarabu na wakuu wote wa Kedari,+ waliokuwa wafanyabiashara wa wanakondoo na kondoo dume na mbuzi.+