Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ walikuwa na mifugo mingi sana, wakaona kwamba eneo la Yazeri+ na eneo la Gileadi yalikuwa maeneo mazuri kwa mifugo.

  • Kumbukumbu la Torati 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo tulimiliki nchi hii: kuanzia Aroeri,+ karibu na Bonde* la Arnoni, na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na majiji yake nimewapa watu wa kabila la Rubeni na kabila la Gadi.+

  • Wimbo wa Sulemani 6:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Usinitazame,+

      Ukinitazama nahangaika.

      Nywele zako ni kama kundi la mbuzi

      Linaloshuka kwenye miteremko ya Gileadi.+

       6 Meno yako ni kama kundi la kondoo

      Ambao wametoka kuoshwa,

      Wote wamezaa mapacha,

      Na hakuna yeyote aliyepoteza watoto wake.

       7 Kama kipande cha komamanga

      Ndivyo yalivyo mashavu yako nyuma ya shela yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki