Wimbo wa Sulemani 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Wewe ni mrembo, mpenzi wangu. Tazama! Wewe ni mrembo. Macho yako ni macho ya njiwa.”+ Wimbo wa Sulemani 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Umeuteka moyo wangu,+ dada yangu, bibi harusi wangu,Umeuteka moyo wangu kwa kunitupia jicho mara moja tu,Kwa kidani kimoja cha mkufu wako. Wimbo wa Sulemani 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo.+ Macho yako+ ni kama vidimbwi kule Heshboni,+Karibu na lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni,Unaoelekea Damasko.
9 Umeuteka moyo wangu,+ dada yangu, bibi harusi wangu,Umeuteka moyo wangu kwa kunitupia jicho mara moja tu,Kwa kidani kimoja cha mkufu wako.
4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo.+ Macho yako+ ni kama vidimbwi kule Heshboni,+Karibu na lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni,Unaoelekea Damasko.