2 “Nimelala usingizi, lakini moyo wangu uko macho.+
Ndiyo hiyo sauti ya mpenzi wangu akipiga hodi!”
“Nifungulie, ewe dada yangu, mpenzi wangu,
Njiwa wangu, mpenzi wangu asiye na kasoro!
Kwa maana kichwa changu kimelowa umande,
Mashungi ya nywele zangu yamejaa unyevu wa usiku.”+