2 “Mimi nimelala, bali moyo wangu umeamka.+ Kuna sauti ya mpenzi wangu akipiga hodi!”+
“Nifungulie,+ ewe dada yangu, msichana mwenzi wangu, njiwa wangu, wangu asiye na lawama!+ Maana kichwa changu kimejaa umande, mashungi ya nywele zangu yamejaa matone ya usiku.”+