Nehemia 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akarekebisha mbele ya Nguzo ya Kutegemeza Ukuta na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,*+ upande wa juu wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+ Wimbo wa Sulemani 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo.+ Macho yako+ ni kama vidimbwi kule Heshboni,+Karibu na lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni,Unaoelekea Damasko.
25 Baada yake Palali mwana wa Uzai akarekebisha mbele ya Nguzo ya Kutegemeza Ukuta na mnara unaotoka katika Nyumba ya Mfalme,*+ upande wa juu wa Ua wa Walinzi.+ Baada yake kulikuwa na Pedaya mwana wa Paroshi.+
4 Shingo yako+ ni kama mnara wa pembe ya tembo.+ Macho yako+ ni kama vidimbwi kule Heshboni,+Karibu na lango la Bath-rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni,Unaoelekea Damasko.