Isaya 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mbele zake mataifa yote ni kama kitu kisichokuwepo;+Anayaona kuwa si kitu, kama ubatili.+ Isaya 60:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia utaangamia,Nayo mataifa yataharibiwa kabisa.+
12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia utaangamia,Nayo mataifa yataharibiwa kabisa.+