11 Tazama! Wale wote wanaowaka hasira dhidi yako wataaibishwa na kufedheheshwa.+
Wale wanaopigana nawe watafanywa kuwa si kitu na wataangamia.+
12 Utawatafuta watu wanaopambana nawe, lakini hutawapata;
Watu wanaopigana nawe watakuwa kama kitu kisichokuwepo, watakuwa si kitu kabisa.+