- 
	                        
            
            Mathayo 12:15-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
15 Yesu alipojua jambo hilo, akaondoka hapo. Watu wengi wakamfuata,+ naye akawaponya wote, 16 lakini akawaagiza kwa kusisitiza wasimtangaze,+ 17 ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia nabii Isaya:
18 “Tazama! Mtumishi wangu+ niliyemchagua, mpendwa wangu, ambaye nimemkubali!*+ Nitaweka roho yangu juu yake,+ naye atayatangazia mataifa haki.
 
 -