Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akaunyoosha mkono wake, akamgusa na kusema: “Ninataka! Takasika.”+ Mara moja ukoma wake ukatakasika.+ 4 Kisha Yesu akamwambia: “Usimwambie mtu yeyote,+ bali nenda, ukajionyeshe kwa kuhani,+ na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza,+ ili kuwa ushahidi kwao.”

  • Marko 3:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata roho waovu,+ kila mara walipomwona, walianguka mbele yake na kupaza sauti wakisema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ 12 Lakini mara nyingi aliwaagiza kwa kusisitiza wasimtangaze.+

  • Marko 7:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Ndipo masikio yake yakafunguliwa,+ na tatizo lake la kuzungumza likaisha, naye akaanza kuzungumza vizuri. 36 Kisha akawaamuru wasimwambie mtu yeyote,+ lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki