Isaya 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+Na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+ Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+ Mathayo 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo umati mkubwa ukamjia, na kuwaleta watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya.+
5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+
30 Ndipo umati mkubwa ukamjia, na kuwaleta watu waliokuwa viwete, vilema, vipofu, mabubu, na wengine wengi, nao wakawaweka miguuni pake, naye akawaponya.+